Shirika la habari la Hawza - Imamu Swadiq (a.s) amesema:
«بِرُّ اَلْوَالِدَيْنِ مِنْ حُسْنِ مَعْرِفَةِ اَلْعَبْدِ بِاللَّهِ إِذْ لاَ عِبَادَةَ أَسْرَعُ بُلُوغاً بِصَاحِبِهَا إِلَى رِضَى اَللَّهِ مِنْ بِرِّ اَلْوَالِدَيْنِ.»
"Kuwatendea wema wazazi wawili (baba na mama) ni katika maarifa ya mja kwa Mwenyezi Mungu, kwani hakuna kitendo cha ibada kilicho cha haraka zaidi katika kupata radhi za Mwenyezi Mungu kuliko kuwatendea wema baba na mama."
Mustadrak al-Wasail, Jz 15, uk 198
Your Comment